Skip to main content
Skip to main content

Marekani yaingia makubliano na sekta ya afya ya Tz

  • | BBC Swahili
    562 views
    Duration: 3:02
    Tanzania na Marekani zimesaini makubaliano mapya ya miaka mitano ya ushirikiano katika sekta ya afya. Lakini makubaliano haya yanamaanisha nini kwa Tanzania na kwa nini yamezua mjadala katika baadhi ya nchi za Afrika? Mwandishi wa BBC @elizabethkazibure anaelezea - - #bbcswahili #afya #marekani #tanzania Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw