Mashambulizi ya Israeli yaua na kujeruhi darzeni za Wapalestina Gaza
Wizara ya afya ya Gaza ilisema kulikuwa na darzeni za Wapalestina waliouawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya anga yanayo fanywa na Israeli katika kambi ya wakimbizi ya Jabalia, Jumatatu, October 9. Israeli imetangaza vita dhidi ya wanamgambo wa Hamas baada ya kushambulia maeneo ya Israeli yanayopakana na Ukanda wa Gaza.
Wapalestina wasiopungua 493 waliuawa katika mashambulizi ya mabomu yaliyofanywa na Israeli katika eneo lililozingirwa tangu Hamas ilipoishambulia Israeli Jumamosi, kulingana na idadi ya vifo iliyochapishwa na wizara mapema Jumatatu.
Israeli ilisema Jumatatu ilifanya mamia ya mashambulizi ya anga dhidi ya maeneo ya Hamas huko Ukanda wa Gaza, wakati majeshi ya Israeli yakifanya juhudi kuwaondoa wanamgambo wa Hamas ambao bado wanapigana huko kusini mwa Israeli.
Msemaji wa jeshi la Israeli Luteni Kanali Richard Hecht aliwaambia waandishi wa habari kuwa mapigano bado yanaendelea katika maeneo saba au nane ndani ya Israeli na ilikuwa inachukua muda mrefu zaidi kuliko ilivyotarajiwa kuzima uvamizi ulioanza Jumamosi.
Msemaji mwengine, Luteni Kanali Jonathan Conricus, alisema Israeli ilikuwa imewaita wanajeshi wa akiba 100,000. (Reuters/VOA)
#israel #palestine #gaza #reels #igreels #videography #voa #hamas #gazacity #jabila #refugees
2 May 2024
- This is the second time in six months the country is facing a blackout.
2 May 2024
- Primary education and higher education are among areas in the education sector with the largest budget cuts in the proposed budget for the 2024/2025 financial year.
2 May 2024
- The pipeline has been touted as having the capacity to make the cost of living more bearable for Kenyans.
2 May 2024
- The government of Kenya on Thursday warned that the Coastal region is likely to be hit by a tropical cyclone now christened ‘Hidaya’ within the next few days.
2 May 2024
- Police in Nairobi have arrested a man over his alleged involvement in the supply of 161,000kg of fake gold, which led to duping a Georgian national of over Ksh.822.2 million.
2 May 2024
- Kenya Power has announced a blackout affecting most parts of the country due to what it termed as a system disturbance,
2 May 2024
- Kenya Power has announced a blackout affecting most parts of the country due to what it termed as a system disturbance,
2 May 2024
- Over 1,000 households in Kibra Constituency affected by the ongoing floods on Wednesday received food distributions from First Lady Rachel Ruto.
2 May 2024
- The Kenya Meteorological Services has issued a continued heavy rainfall and strong winds advisory starting from Thursday through to Monday next week.
2 May 2024
- KenGen has allayed fears of Masinga Dam bursting its banks due to the ongoing heavy rains amidst fears of an overflow.
2 May 2024
- Efforts to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi gained pace on Thursday after the National Assembly formed a Select Committee to investigate allegations against him.
2 May 2024
- The government is now warning that Cyclone Hidaya may soon hit the Coastal region amid the heavy rains presently being witnessed across the country.
2 May 2024
- A court assistant in Migori County is set to face charges for allegedly demanding a bribe in order to help an accused person secure a lighter sentence in a criminal case.