Skip to main content
Skip to main content

Masomo katika shule za Gwitembe na Angata Barrikoi yalemazwa kufuatia mzozo wa ardhi

  • | KBC Video
    209 views
    Duration: 2:04
    Kwa siku ya tatu mfululizo, masomo yamelemazwa katika shule za Gwitembe na Angata Barrikoi zilizo mpakani mwa Kaunti ya Narok kutokana na mzozo wa ardhi unaoendelea kukithiri. Wazazi, wanafunzi na walimu wanasema wamelazimika kuchagua kati ya kwenda shule au kusalia nyumbani kulinda familia na mali zao, kwani mashambulizi yamekuwa yakitokea mara kwa mara katika eneo hilo la mpakani. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive