Mataifa zaidi kutambua Palestina: Israel itasalimu amri?
Rais wa Marekani Donald Trump ameonya kuwa uamuzi wa Canada wa kulitambua taifa la Palestina unaweza kufanya mazungumzo ya makubaliano ya kibiashara na Marekani kuwa magumu zaidi.
Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz pia amesema kuwa mipango ya kulitambua taifa la Palestina "inawapa ujasiri Hamas na kuimarisha msimamo wake".
Canada ni nchi ya tatu ya uchumi mkubwa kufanya uamuzi kama huo katika siku za hivi karibuni. Waziri Mkuu wa Canada Mark Carney amesema kuwa nchi yake italitambua jimbo la Palestina mwezi Septemba.
@MarthaSaranga anachambua suala hili kwa kina usiku wa leo katika Dira ya Dunia TV.
Jiunge naye saa tatu usiku kwa matangazo yatakayokujia mubashara kwenye ukurasa wa YouTube wa BBC Swahili
#bbcswahili #palestine #israel
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
1 Aug 2025
- The government warned of Mpox outbreak in the country.
1 Aug 2025
- Owuor is one of the prominent religious figures in Kenya.
1 Aug 2025
- The new rule will affect thousands of Kenyans from September.
1 Aug 2025
- A total of 314 cases and five deaths as a result of the Mpox disease, also known as Monkeypox, have been confirmed in Kenya since the outbreak of the disease in July 2024.
1 Aug 2025
- Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has assured teachers of the government’s continuous assessment of the status of education standards in the country.
1 Aug 2025
- The High Court in Nairobi has overturned the acquittal of seven individuals linked to the multi-billion Anglo Leasing Scandal, directing them to be put on their defence.
1 Aug 2025
- Margaret Nduta, the Kenyan woman condemned to death in Vietnam for drug trafficking, can now heave a sigh of relief after a Vietnamese court commuted her death penalty to a life sentence.
1 Aug 2025
- They shared a platform at State House, Nairobi, during a joint East African Community (EAC) and Southern African Development Community (SADC) co-chairs meeting
1 Aug 2025
- “I am going to decisively and intentionally root out corruption, starting from the Ministry of Health to the Nursing Council of Kenya.”
1 Aug 2025
- The closures are aimed at easing access to the stadium and enhancing safety for fans, teams, and officials.
1 Aug 2025
- Access to Nyayo and Kasarani stadiums will be strictly based on ticket type.
1 Aug 2025
- Few hotels have shaped a city quite like the Waldorf Astoria shaped New York
1 Aug 2025
- From newsrooms to boardrooms, she lobbied, pleaded, and persevered—mobilising not just resources, but a nation’s compassion to save son from execution.