Skip to main content
Skip to main content

Maziko ya Mfalme Oyo wa Tooro Uganda yaanza huku mzozo ukiendelea

  • | BBC Swahili
    9,107 views
    Duration: 37s
    Tazama jinsi maelfu ya waombolezaji walivyojitokeza kando ya barabara kuushuhudia mwili wa Mfalme Oyo Nyimba Kabamba Iguru Rukidi IV, Mfalme wa Tooro, ukipitishwa kuelekea Kasri la Karuziika. Mila na desturi za kitamaduni ziliambatana na kila hatua ya msafara huo, kwa heshima ya utawala wake uliodumu kwa karibu miaka 31. Wanafamilia wa kifalme, viongozi wa serikali pamoja na viongozi wa taasisi za kitamaduni walikusanyika kutoa heshima zao za mwisho kwa Mfalme huyo. #bbcswahili #mfalmewatooro #uganda Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw