- 1,371 viewsDuration: 3:03Waziri wa Hazina John Mbadi sasa anasema atarejesha ushuru wa mitumba baada ya kuondolewa na Bunge la Kitaifa kwenye Mswada wa Fedha wa mwaka 2026. Mbadi anasema kuwa baadhi ya maelezo kwenye mswada huo hayaeleweki na yanawapotosha Wakenya. Pia, Mbadi ameendelea kufafanua baadhi ya vipengele kwenye mswada huo akisema hakuna ushuru mpya kwa maji ya chupa wala simu za mkononi.