- 4,884 views
Mbunge wa Mavoko Patrick Makau amekamatwa mapema leo asubuhi kuhusiana na maandamano ya jana yaliyosababisha uharibifu wa barabara ya Nairobi Expressway. Makau alikamatwa saa kumi alfajiri nyumbani kwake Karen, jijini Nairobi. Maafisa wa upelelezi wa jinai wanamzuilia katika afisi zao zilizoko katika eneo la Kiambu. Waandamanaji waliharibu mali na kuwasha mioto katika maeneo ya barabara hiyo huku wakilalamikia kupanda kwa gharama ya maisha. Waziri wa usalama Prof. Kithure Kindiki ameahidi kuwa wahusika wote kwenye maandamano hayo watachukuliwa hatua za kisheria.
Mbunge wa Mavoko Patrick Makau akamatwa kuhusiana na uharibifu wa Expressway
- 13 Aug 2025 - A petition has been filed at the Milimani Law Courts by Sheria Mtaani and lawyer Shadrack Wambui challenging the alleged takeover of the police payroll by the Inspector General of Police, terming it unconstitutional.
- 13 Aug 2025 - Addressing the gathering, Kindiki updated the women on the implementation of key government projects, including road construction, market upgrades, electricity connectivity, the completion of the Nithi Bridge, and the creation of job opportunities for…
- 13 Aug 2025 - The construction of the first student accommodation under the government’s Affordable Housing Programme has commenced in Homa Bay County after President William Ruto laid the foundation stone for the Tom Mboya University Student Village.
- 13 Aug 2025 - Manyatta MP Gitonga Mukunji has called for calm and peaceful coexistence following an ethnic clash between Embu and Meru traders in Siakago Market, sparked by concerns over insecurity in the area.
- 13 Aug 2025 - He is currently serving his second term.
- 13 Aug 2025 - In a notice issued Wednesday afternoon, the US Embassy in Nairobi urged students to remain committed to their academic programmes and comply with institutional requirements to maintain visa eligibility.
- 13 Aug 2025 - “Neither the British High Commission, UK Ministry of Defence, nor the British Army Training Unit Kenya (BATUK) has received a formal invitation to appear before Kenya’s Defence, Intelligence and Foreign Relations Committee,” a spokesperson said on…
- 13 Aug 2025 - Land registrar to publicise all govt land transactions.
- 13 Aug 2025 - The main venue for the event is Homa Bay High School
- 13 Aug 2025 - Ruto warned that no one will be spared if found culpable.