Skip to main content
Skip to main content

Mchujo wa timu za riadha ulifanyika katika uwanja wa ulinzi sports complex

  • | Citizen TV
    227 views
    Duration: 1:02
    Maureen Chebor alikimbia kwa kasi na kushinda fainali ya mita 5000 kwa wanawake katika mchujo wa kuwania kufuzu kwa mashindano ya afrika uliofanyika katika uwanja wa ulinzi sports complex, na hivyo kujishindia nafasi yake kwenye hatua ya bara kwa mtindo