Skip to main content
Skip to main content

Mfanyabiashara Abdisamed Ahmed kutoka Kakuma Turkana alitekwa nyara

  • | Citizen TV
    538 views
    Duration: 3:27
    Familia moja mjini Kakuma kaunti ya Turkana inalilia haki ikiitaka idara ya ujasusi, kuisaidia kutafuta jamaa yao Abdisamed Ahmed Boruka, anayedaiwa kutekwa nyara mwezi uliopita akiwa Eastleigh Nairobi katika shughuli za kibiashara. Na kama anavyoarifu Cheboit Emmanuel, licha ya kupiga ripoti kwa vituo kadha ya polisi Nairobi na Kakuma, hakuna taarifa yoyote wamepata ya ndugu yao kupatikana.