Skip to main content
Skip to main content

Mfanyabiashara wa Australia alaghaiwa shilingi milioni 77 ya dhahabu

  • | Citizen TV
    6,869 views
    Duration: 4:19
    Mfanyabiashara mmoja kutoka Australia anakadiria hasara ya zaidi ya shilingi milioni 77 baada ya kulaghaiwa na watu walioahidi kumuuza kilo 600 za dhahabu. Andrew Gaballa anasema alikuwa ameingia kwenye makubaliano na watu kadhaa wenye uraia wa Marekani na Mkenya mmoja kwamba wangemuuzia dhahabu hiyo na kisha kuisafirisha hadi Dubai. Ila baadaye wahusika walitoweka na fedha zake bila kuwasilisha dhahabu waliokuwa wamekubaliana.