Skip to main content
Skip to main content

Mgogoro katika chama cha ODM waendelea kutokota

  • | Citizen TV
    4,400 views
    Duration: 1:24
    Waanzilishi wa chama cha ODM wakiongozwa na mbunge wa zamani wa Makadara Reuben Ndolo wamesema kuwa kuna njama ya watu fulani kusabaratisha chama hicho na ndio sababu kuu ya mzozo unaoshuhudiwa kwenye chama hicho.