Skip to main content
Skip to main content

Mgomo wa madaktari kaunti ya Nairobi waingia wiki ya nne

  • | KBC Video
    164 views
    Duration: 2:42
    MGOMO WA MADAKTARI Huduma muhimu za afya zimeathirika pakubwa kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea, ambao sasa umeingia wiki ya nne. Mgomo huu umetokana na mvutano kati ya madaktari na serikali ya Kaunti ya Nairobi. Wakizungumza leo katika Hospitali ya Mbagathi , maafisa wa chama cha madaktari, wamesema kaunti hii haijashughulikia malalamishi yao. Madaktari hao wanataka walipwe mishahara yao iliyocheleweshwa mara moja pamoja na kutatuliwa kwa malalamishi mengine kabla ya kurejea kazini. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive