Skip to main content
Skip to main content

Mgomo wa wahadhiri katika chuo kikuu cha Kibabii kaunti ya Bungoma

  • | Citizen TV
    44 views
    Mgomo wa wahadhiri kote nchini umeingia siku ya pili hii leo ambapo Wahadhiri wa chuo kikuu cha kibabii kaunti ya Bungoma wanashinikiza kutekelezwa kwa mkataba wao na serikali.