Skip to main content
Skip to main content

Mhubiri Paul Nthenge Mackenzie afunguliwa mashtaka ya mauwaji na itikadi kali Kilifi

  • | Citizen TV
    2,172 views
    Duration: 2:07
    Mhubiri tata Paul Nthenge Mackenzie amefunguliwa mashtaka ya mauwaji na itikadi kali kwa mauwaji ya kwa Binzaro kaunti ya Kilifi. Mackenzie na washukiwa wengine 7 wamefikishwa katika mahakama za Mombasa na Shanzu ambapo walikana mashtaka hayo