Michuano ya soka barani Afrika AFCON kwa mwaka 2024 iko mbioni kupuliza kipyenga.
Tanzania ikiwa ni mmoja wa wawakilishi katika ukanda wa Afrika Mashariki ambapo imepangwa katika kundi F ambayo ipo na Taifa la Morocco, Jamhuri ya Demokrasia ya Congo na nchi jirani na Tanzania ya Zambia.
Sasa kupitia Mwandishi wetu aliyeko nchini Ivory Coast @frankmavura fahamu shauku ya mashabiki wa soka nchini Ivory Coast na uwanja utakaotumika katika ufunguzi na fainali za AFCON
#bbcswahili #ivorycoast #AFCON2023
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has announced plans to set up a joint committee with the CEOs of insurance companies across the country to tackle fraudulent activities that have been plaguing the Social Health Authority (SHA).
18 Aug 2025
- President William Ruto has vowed to ensure that Members of Parliament and Senators behind an extortion scheme called soko huru are apprehended.
18 Aug 2025
- The death toll from a blast at a gunpowder plant near Moscow rose to 20, with more than 100 wounded, the authorities said on Monday, as a probe began into possible industrial safety violations.