- 443 views
Na kwenye uchunguzi wa sakata ya mbolea ghushi, mkurungenzi wa kampuni ya SBL Innovate Josiah Kariuki amedai kuwa bodi ya nafaka na mazao iliuza magunia laki moja ya mbolea inayodaiwa kuwa ghushi na iliyosambazwa na kampuni yake. Kariuki aliyefika mbele ya kamati ya kilimo bungeni kutoa taarifa kuhusiana na sakata hiyo, amesema kuwa NCPB ilichukua sampuli ya mbolea yake kabla ya kuanza kuiuza mwaka wa 2022. Kariuki hata hivyo alikuwa na wakati mgumu kujibu madai kuwa bidhaa aliyowauzia wakulima ni tofauti na ile iliyoidhinishwa na kebs alipopewaleseni.
Mkurungenzi wa kampuni ya SBL Innovate ahojiwa bungeni
- 7 May 2024 - The New York judge presiding over Donald Trump's historic criminal trial again found the former US president in contempt of a gag order on Monday and threatened to jail him for further violations.
- 7 May 2024 - Ukraine on Monday said it had restored power to hundreds of thousands of people who lost electicity in overnight Russian strikes but warned of "urgent challenges" in maintaining the grid.
- 7 May 2024 - The Kenya Railways Corporation (KRC) has announced the partial resumption of commuter train service after suspension due to heavy rainfall.
- 7 May 2024 - The aged rely on their grandchildren. An average of 300 families have sought refuge at Ombaka Primary School, the only designated evacuation site in the area. Makeshift tents dot the school field, prompting urgent action calls from the government.
- 7 May 2024 - Mung'aro rescinds decision to move Shakahola bodies
- 7 May 2024 - Win for Mombasa as KPA starts to collect levies from ships, lories
- 7 May 2024 - Parliament wants unoperational refineries company dissolved
- 7 May 2024 - Calls for official remote learning policy rise
- 7 May 2024 - Nurses union issues seven-day strike over 'unmet demands'
- 7 May 2024 - 'Maai Mahiu floods snatched my beloved son from my hands'