Skip to main content
Skip to main content

Mkutano wa wakulima wa kahawa Kisii wavunjwa kwa madai ya ubadhirifu wa shilingi milioni 2

  • | Citizen TV
    261 views
    Duration: 1:13
    Wakulima wa Kahawa kutoka chama cha ushirika cha Nyakoe kaunti ya Kisii walivuruga mkutano wao wa kila mwaka kufuatia madai kuwa wanakamati walihusika na ubadhirifu wa zaidi ya shilingi milioni mbili