Mali ya thamani isiyojulikana imeharibiwa baada ya zaidi ya nyumba 20 kuteketea katika kijiji cha Kianjogu, wadi ya Ndenderu katika kaunti ya Kiambu. Zaidi ya familia 30 zimeachwa bila makazi na sasa zimepata hifadhi katika makanisa yaliyo karibu.Kwingineko, waumini wa Kanisa la United Pentecostal lililoko eneo la Khayega, kaunti ya Kakamega, wanakadiria hasara baada ya kanisa hilo kuteketezwa katika tukio linaloshukiwa kuwa ni uchomaji wa makusudi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive