Skip to main content
Skip to main content

Mradi wa unyunyuzaji maji wa kilimo cha mboga umekwama kaunti ya Busia

  • | Citizen TV
    154 views
    Duration: 4:03
    Wakulima katika wadi ya bukhayo kaskazini kaunti ya busia wanalalamikia kukwama kwa mradi wa unyunyuziji maji wa kilimo cha mboga na matunda ulioanzishwa na serikali ya kaunti hiyo miezi sita iliyopita. Ni mradi wa idara ya maji uliofadhiliwa na benki ya dunia katika kijiji cha benga ukinuia kuwafaidi zaidi ya wakulima 120 waliopewa robo ekari ya shamba kila mmoja.