- 101 views
Watu kadhaa wamejeruhiwa leo wakati wa msako uliowalenga wafanyibiashara wanauza maziwa ya unga na bidhaa nyingine ghushi katika mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Wafanyibiashara katika mtaa huo wa Eastleigh hata hivyo walishtumu msako huo wakisema haufai na ulikuwa ukiuka haki zao kwa vile walikuwa na stakabadhi zinazohitajika kuendesha biashara hizo. Msako huo ulitatiza na kulemaza biashara katika eneo hilo huku polisi wakilazimika kutumia vitoza machozi kwa wakati mmoja.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Msako wa maziwa bandia waendelezwa Eastleigh
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist