Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa wa dhuluma dhidi ya wanawake Narok kusalia rumande akisubiri uamuzi wa dhamana

  • | Citizen TV
    475 views
    Duration: 1:20
    Mshukiwa katika kesi ya shambulizi dhidi ya mwanamke wa miaka 22 amefikishwa mahakamani hii leo lakini ataendelea kuzuiliwa hadi kesho kusubiri kusikilizwa kwa ombi la dhamana lililowasilishwa na wakili wake