Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa wa mauaji ya mama na watoto wawili Machakos azuiliwa huku uchunguzi ukiendelea

  • | Citizen TV
    1,336 views
    Duration: 53s
    Amos Nyingi Wambua, mwenye umri wa miaka 23 na mshukiwa mkuu wa mauaji ya mama na watoto wake wawili huko Kathiani kaunti ya Machakos amefikishwa katika mahakama ya Machakos lakini hakujibu mashtaka baada ya upande wa mashtaka kuomba apewe siku 5 zaidi kukamilisha uchunguzi.