Skip to main content
Skip to main content

Msichana wa miaka 13 auawa Homa Bay na mwili kutupwa kando ya barabara

  • | KBC Video
    21 views
    Duration: 1:48
    Familia moja katika Kaunti ya Homa Bay inatafuta haki kufuatia mauaji ya binti wao wa miaka 13. Mwili wa Mary Triza, mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Kamsama Comprehensive, ulipatikana umetupwa kando ya barabara katika kijiji cha Rabour. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive