Mtaalamu wa kutengeneza mapambo athari kwenye filamu na video
Jafari Athuman ni mtalamu wa kutengeneza mapambo athari nchini Tanzania kazi ambayo alijifunza kupitia mitandao ya kijamii na amekuwa akifanya vizuri tangu mwaka wa 2020 kiasi cha kushinda tuzo kadhaa ikiwemo tuzo ya msanii bora wa mapambo athari Tanzania mwaka 2023.
Jafar hutumia wastani wa dakika 20 mpaka saa moja na nusu kutengeneza Jeraha au kidonda kulingana na ukubwa wake.
Gharama za uandaaji wake huanzia dola za Kimarekani ishirini mpaka dola 500 kwa pambo kubwa zaidi ambalo kwake ni mwili wa binadamu uliooza kabisa
🎥 & ✍: @eagansalla_gifted_sounds
#bbcswahili #tanzania #sanaa
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
26 Jul 2024
- The case of Rex has taken yet another twist, after IPOA failed to identify the officer, now the family says the body was tampered with.
26 Jul 2024
- Kalonzo made the revelations at a gathering in Nyeri County which was also attended by other senior politicians.
26 Jul 2024
- Trusted by President Ruto, the Central Bank insider was tasked with rebuilding the country's coffers, which the Kenyan Kwanza administration claimed were empty in 2022.
27 Jul 2024
- Team Kenya, led by Malkia strikers captain Triza Atuka and African fastest man in 100m Ferdinand Omanyala, was among the over 200 countries which paraded across River Seine during the opening ceremony of the 33rd Olympic Games held on Friday night along…
27 Jul 2024
- The fate of investigations into the death of Rex Masai, who was allegedly felled by police bullets during the Anti-Finance Bill protests, remains uncertain after a key witness backed out of the case.
27 Jul 2024
- Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
27 Jul 2024
- My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial
27 Jul 2024
- Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction
27 Jul 2024
- Azimio leaders accused of plotting coup against Raila Odinga
27 Jul 2024
- A 90-year-old man from Kilifi has been sentenced to 30 years in prison for defiling his 6-year-old stepdaughter. Kea Katana Mdudu is said to have committed the crime on July 16, 2019, in Mwaeba Pangani village, Tsangalaweni, Ganze Sub County, Kilifi…
27 Jul 2024
- Governor Wavinya Ndeti has announced Ksh80 million table banking fund at the grand launch of the women-only, Makima Tithers Sacco. The event, aimed at empowering women economically, saw enthusiastic participation from local women entrepreneurs and…
27 Jul 2024
- The feeling can be worse for sportsmen and women who miss out on a place at the Games through no fault of their own.
27 Jul 2024
- IOC officials warn that Salt Lake City’s hosting rights could be revoked if U.S. lawmakers and Usada continue to challenge the authority of Chinada.