Skip to main content
Skip to main content

Mtihani wa KCSE waanza rasmi

  • | KBC Video
    139 views
    Duration: 2:04
    Mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne (KCSE) wa mwaka huu umeanza rasmi, huku wanafunzi wakifanya mitihani ya mahojiano na vitendo. Mitihani ya vitendo inatarajiwa kukamilika tarehe 31 mwezi Oktoba, kabla ya kuanza kwa mitihani ya maandishi tarehe 4 mwezi ujao. Jumla ya watahiniwa 996,078 wanafanya mtihani huo katika vituo 10,765 kote nchini. Mwanahabari wetu Joseph Wakhungu anaangazia ratiba ya mtihani huo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive