Skip to main content
Skip to main content

Mtoto Ian afanyiwa upasuaji wa kurekebisha uso ambao ni wa kwanza wa aina hiyo Kenya

  • | KBC Video
    234 views
    Duration: 4:26
    Ian Baraka, mvulana wa miaka saba ambaye uso wake ulijeruhiwa vibaya wakati wa shambulizi la majangili mapema mwaka huu, amefanyiwa upasuaji wa kurekebisha uso wake katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH). Madaktari waliotekeleza upasuaji huo wamethibitisha kuwa shughli hiyo ilikuwa ya mafanikio na sasa Ian anaendelea kupata nafuu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive