- 393 viewsFamilia ya Dr Salim Ahmed Salim aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi huru Barani Afrika OAU na Waziri Mkuu wa Tanzania washirikiana kuunda makumbusho ya kidigitali ikiwa na hatua ya kujenga historia mpya na kwenda na wakati kutokana na kizazi kipya kuwa na utashi zaidi wa kupata historia kwa njia ya mitandao ya kijamii. Sikiliza mtoto wa Dr Salim akieleza mkakati huo wa kidigitali juu ya kumbukumbu ya baba yake... #tanzania #kumbukumbu #kidigitali #katibumkuu #umojawanchihuru #afrika #salimahmedsalim #wazirimkuu #voa #voaswahili - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mtoto wa Dr Salim Ahmed Salim aeleza mkakati wa kufikisha kumbukumbu ya mzazi wao kwa vijana
- 16 Jul 2025 - Police from Kilifi Police have nabbed a suspected drug trafficker following a tip from members of the public from Kibaoni area in Kilifi Sub-County. Acting on the tip, they launched a swift operation and laid out an ambush and successfully managed to…
- 16 Jul 2025 - The deported men are nationals of Vietnam, Laos, Yemen, Cuba and Jamaica.
- 16 Jul 2025 - The misappropriation was revealed by the Auditor General.
- 16 Jul 2025 - Malala ordered to pay UDA, Mbarire Sh305,000 in legal costs
- 16 Jul 2025 - The teacher is on the spot with multiple institutions calling for his arrest.
- 16 Jul 2025 - Isiolo MCAs agree to work with Guyo after failed impeachment
- 16 Jul 2025 - The infant had their the left eye removed, burn-like injuries on the right foot, complete skin removal from the left foot, facial swelling, and signs of strangulation, which was identified as the cause of death.
- 16 Jul 2025 - He said Nyoro's objections might be influenced by his recent transition from the committee leadership
- 16 Jul 2025 - Sofapaka Football Club Chief Executive Officer Ronald Okoth has officially stepped down from his position following the expiry of his contract. In a statement on Wednesday, July 16, 2025, Okoth expressed his deep gratitude to the club’s leadership,…
- 16 Jul 2025 - Lenacapavir is a long-acting antiretroviral drug that works differently from existing HIV medications