Mtoto wa TB Joshua alivyokabiliana na baba yake kwa kufichua maovu yake

  • | BBC Swahili
    9,334 views
    "Nilipigwa na mikanda, minyororo sikuweza hata kusimama siku zingine" BBC imefichua jinsi kiongozi wa kanisa kubwa Nigeria marehemu TB Joshua, ambaye anatuhumiwa kwa uhalifu wa kingono, alivyomfungia binti yake mwenyewe na kumtesa kwa miaka na kumuacha bila makazi katika mitaa ya Lagos, Nigeria. Madai ya unyanyasaji katika eneo la siri la Lagos yamedumu kwa takriban miaka 20. Kanisa la Synagogue Church of all Nations halikujibu madai hayo lakini lilisema madai ya zamani hayana msingi. #bbcswahili #upekuziwabbc #BBCAfricaEye Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw