Skip to main content
Skip to main content

Musyi FM yasisimua Kibwezi mashabiki wapata zawadi kemkem

  • | Citizen TV
    263 views
    Duration: 2:30
    Musyi FM ilitua mjini Kibwezi katika Kaunti ya Makueni kwa ziara ya kusisimua ya Kukutana na wakazi na mashabiki wa stesheni hiyo ya redio. Hafla hiyo ya siku nzima lilivutia maelfu ya mashabiki wa Musyi FM ambao walitumbuizwa na wasanii tajika wanaocharaza muziki kwa lugha ya kikamba. Mashabiki pia walijishindia zawadi kemkem.