Skip to main content
Skip to main content

Muungano wa wake wa magavana wazindua mpango wa miaka 4 unaolenga kuboresha afya na elimu

  • | NTV Video
    95 views
    Duration: 1:25
    Muungano wa wake wa magavana (CFLA) umezindua mpango wa miaka minne unaolenga kuboresha afya, elimu, usawa wa kijinsia, uchumi na udhabiti dhidi ya mabadiliko ya tabianchi katika kaunti 47. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya