Skip to main content
Skip to main content

Watanzania wapigwa marufuku kuingia Marekani, katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    27,544 views
    Duration: 28:10
    Rais wa Marekani Donald Trump ameweka marufuku ya usafiri dhidi ya raia wa Tanzania katika vikwazo vya hivi karibuni vya usafiri. Ikulu ya White House imesema vikwazo hivyo vinavyokusudia "kulinda usalama wa Marekani" vitaanza kutekelezwa Januari 1, 2026. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw