Mvua kubwa imenyesha katika baadhi ya mataifa ya Ghuba, na kusababisha mafuriko katika ukanda huo, ikiwa ni pamoja na Dubai, Bahrain na Oman.
Mamlaka nchini Oman imesema takriban watu 19 wamefariki dunia kutokana na mafuriko.
Shughuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dubai zilisitishwa kwa muda kutokana na mafuriko hayo.
#bbcswahili #dubai #mafuriko #mabadilikotabianchi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
6 Aug 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has declared his support of the proposal for the United States to review Kenya's designation as a major non-North Atlantic Treaty Organization (NATO) ally.
6 Aug 2025
- In a historic move to combat one of the most common sexually transmitted infections (STIs), the National Health Service (NHS) has launched the world’s first gonorrhoea vaccination programme in England, targeting individuals most at risk of infection.
6 Aug 2025
- When the giant landfill collapsed in Uganda's capital Kampala a year ago, Zamhall Nansamba thought she was hearing an aeroplane taking off.