- 9,831 viewsDuration: 40sMwamuzi wa FIFA na CAF, Omar Artan, amerejea katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, na kupokelewa kama shujaa baada ya kunyimwa kibali cha kuingia nchini Marekani, ambako alikuwa amepangiwa kuchezesha mechi za Kombe la Dunia #bbcswahili #Somalia #kombeladunia Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw