Skip to main content
Skip to main content

Mwanabodaboda auawa kwa kupigwa risasi Kibwezi

  • | Citizen TV
    2,013 views
    Duration: 1:39
    Mhudumu wa bodaboda ameuawa kwa kupigwa risasi eneo la Kibwezi. Wakazi wamelalamikia kuongezeka kwa visa vya uhalifu, huku washukiwa wakidaiwa pia kuiba pikipiki ya marehemu.