Skip to main content
Skip to main content

Mwanafunzi wa gredi ya tisa anauguza majeraha mabaya Busia baada ya kupigwa na nguvu za umeme

  • | Citizen TV
    3,788 views
    Duration: 1:36
    Mvulana mmoja mwenye umri wa miaka 15 anauguza majeraha mabaya katika hospitali moja mjini Busia baada ya kupigwa na nguvu za umeme alipokuwa akienda mtoni.