Skip to main content
Skip to main content

Mwanahabari Willis Raburu ashtaki kampuni mbili kwa kukiuka mkataba wa makubaliano

  • | Citizen TV
    6,713 views
    Duration: 1:08
    Mwanahabari na mshauri wa mawasiliano ya kidijitali Willis Raburu amewasilisha kesi mahakamani dhidi ya kampuni mbili akidai kulipwa shilingi milioni 10 kufuatia madai ya uvunjaji wa mkataba kuhusiana na Tamasha ya Furaha City iliyofanyika Desemba 2024.