Skip to main content
Skip to main content

Mwanajeshi anayedaiwa kumuua mkewe na watoto wawili ahukumiwa kifungo cha maisha

  • | KBC Video
    435 views
    Duration: 3:34
    Peter Mugure ambaye wakati mmoja alihudumu katika jeshi la Kenya KDF, amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe na watoto wake wawili mwezi oktoba mwaka 2019 katika kituo cha wanahewa cha Laikipia. Jaji Martin Muya akitoa kauli hiyo hii leo katika mahakama kuu ya Milimani,aliamua kwamba kitendo hicho kilikuwa cha kinyama na kwamba kosa hilo linastahili adabu kali kulingana na sheria. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive