- 97 views
Mkuu wa sheria Justin Muturi anapendekeza marekebisho kuiwezesha afisi yake kutekeleza wajibu wake bila mwingilio wa tume ya utumishi wa umma. Muturi aliyefika mbele ya kamati ya bunge la kitaifa kuhusu haki na masuala ya sheria anapendekeza marekebisho kupitia mswada wa marekebisho ya sheria ili kubuniwe bodi katika afisi ya sheria ya serikali itakayosimamia ajira, upandishwaji vyeo pamoja na kushughulikia masuala ya nidhamu ya wafanyakazi. Katika uwasilishaji wake, Muturi amesema hatua hii itasuluhisha changamoto za kuwepo kwa uhaba wa wafanyakazi, malipo na urasimu. Fauka ya hayo, alitupilia mbali madai ya vyombo vya habari kwamba afisi yake ina utepetevu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwanasheria Mkuu Justin Muturi ataka majukumu yatengwe na tume ya PSC
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist