- 267 views
Mwanume mwenye umri wa miaka 25 amekamatwa kuhusiana na mauaji ya kinyama ya mkewe wa umri wa miaka 21 katika tukio lililowaacha wakazi wa Kasait katika eneo la Baringo Kaskizini vinywa wazi. Denis Kipsang anashutumiwa kwa kumpa sumu kabla ya kumnyonga mkewe Sharon na baadaye kuufungia mwili wake kwenye nyumba yao kwa siku tano. Wanandoa hao, ambao wana mtoto mchanga pamoja, walisemekana kuwa na matatizo katika ndoa yao yaliyosababishwa na madai ya usaliti unaodaiwa kusababisha tukio hilo ambalo limezua mshangao miongoni mwa wakazi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Mwanume wa mwenye miaka 25 akamatwa kwa kumuua mkewe Baringo
- 13 Jul 2025 - Liberia's president was "honoured" to meet US counterpart Donald Trump this week and wasn't offended by Trump's comment about his fluency in English -- his mother tongue -- Liberia's foreign minister said on Friday.
- 13 Jul 2025 - An Israeli-American businessman, a former State Department official and a decorated Green Beret pitched up in the Democratic Republic of Congo in March with a message for President Felix Tshisekedi from the Trump administration.
- 13 Jul 2025 - Nigeria on Saturday slapped 44 Boko Haram jihadists with jail terms of up to 30 years for funding terrorist activities, a spokesman for a counterterrorism agency said.
- 13 Jul 2025 - The announcement comes after multiple complaints were raised.
- 13 Jul 2025 - He said the government will not allow opposition to use youths to save their dwindling political careers.
- 13 Jul 2025 - They have said the current guidance, which allows headteachers to decide how smartphones are used, is unlawful
- 13 Jul 2025 - "The doctoral thesis took me 6 years with COVID in between,” he said.
- 13 Jul 2025 - Two of them have already been charged in court.
- 13 Jul 2025 - President William Ruto’s administration has come under sharp criticism from the Democratic Action Party of Kenya (DAP-K), as political temperatures begin to rise ahead of the 2027 general elections. In a scathing rebuke posted on its X account on Sunday…
- 13 Jul 2025 - Employer told not to present counter-proposal with no monetary benefits in new CBA.