Mwili wa Mtanzania uliyozama Wapatikana Mto wa Miami
Mwili uliopatikana ukielea katika Mto wa Miami Jumanne asubuhi umethibitishwa kuwa wa mtu mmoja aliyeanguka ndani ya maji kutoka katika boti wikiendi.
Mwili huo ulipatikana katika mto karibu na daraja moja lilioko katika eneo la 300 block huko Kaskazini magharibi 2nd Street.
Kanda ya video iliyochukuliwa kutoka katika helikopta aina ya Chopper 6 ilionyesha boti ya uokoaji ya Kikosi cha Zimamoto cha Miami kikishughulikia kuuopoa mwili huo kutoka majini.
Maafisa wa Polisi wa Miami wamethibitisha mwili huo kuwa wa Abraham Mgowano, aliyetoweka tangu Jumamosi mchana.
Mgowano mwenye umri wa miaka 35, alikuwa mfanyakazi wa Google, katika nafasi ya uhandisi ambaye Gazeti la The Citizen la Tanzania limeripoti kuwa marehemu ni mwenye asili ya Tanzania.
Kulingana na Kamisheni ya Florida Fish and Wildlife Conservation FWC, Mgowano kutoka Berkley, California, alikuwa ni moja wa abiria 12 katika boti iliyo na urefu wa futi 44, kabla ya kuanguka majini kiasi cha saa nane na nusu mchana.
Waokoaji kutoka Zimamoto ya Miami waliutafuta mwili wa mtu huyo aliyekuwa na umri wa miaka 35 aliyeanguka majini.
Kikosi cha Ulinzi wa Majini cha Marekani kilijiunga na zoezi hilo la kumtafuta mtu huyo lakini walisitisha utafutaji wao Jumamosi usiku.
Maafisa wa Kamisheni (FWC) walisema Jumatatu kuwa walikuwa wanaendelea kushirikiana na Polisi wa Miami-Dade na Waokoaji wa Kikosi cha Zimamoto cha Miami kutafuta mwili katika eneo hilo.
Maafisa wa FWC pia wamethibitisha kuwa mwili huo ni wa Mgowano na walisema uchunguzi bado unaendelea.
“Mioyo yetu iko na marafiki na familia ya Bw Mgowano wakati huu mgumu unaowakabili,” FWC ilisema katika taarifa yao.
#mwili #marehemu #abrahammgowano #miami #florida #marekani #voa #voaswahili #fwc
27 Apr 2024
- The depreciation of the shilling has posed a major challenge.
27 Apr 2024
- He revealed what motorists should expect on the roads in the coming week.
27 Apr 2024
- In recent weeks, Sakaja has come under intense criticism from a section of UDA leaders.
27 Apr 2024
- Bumula Member of Parliament Jack Wamboka claims his life is in danger after he filed a notice of motion to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi over the fertilizer scandal in the country.
27 Apr 2024
- Heavy rainfall in Kirinyaga Central and its vicinity has resulted in severe flooding, leaving several villages isolated from Kutus town and nearby areas.
27 Apr 2024
- Donald Trump's lawyer sought on Friday to undermine the credibility of a former tabloid publisher who testified at the former president's criminal trial about his paper's efforts to bury news that could have damaged Trump's 2016 White House bid.
27 Apr 2024
- Many South Africans are feeling disillusioned and frustrated with the ANC.
27 Apr 2024
- The Anti-Counterfeit Authority (ACA) is in the process of implementing varied methods to fight trade in illicit goods
27 Apr 2024
- So far 70 people have lost their lives due to flooding and thousands others displaced from their homes
27 Apr 2024
- Flooding menace exposes Kenya's perpetual cycle of mismanagement
27 Apr 2024
- Rigging claims, delays in delivering poll materials mar grassroots elections
27 Apr 2024
- The employees were alleged to have contravened regulations in the export of unidentified cargo. The government has condemned the arrest accusing Congo of ‘acting in bad faith.
27 Apr 2024
- The depreciation of the shilling has posed a major challenge.