Mwili wa Mtanzania uliyozama Wapatikana Mto wa Miami
Mwili uliopatikana ukielea katika Mto wa Miami Jumanne asubuhi umethibitishwa kuwa wa mtu mmoja aliyeanguka ndani ya maji kutoka katika boti wikiendi.
Mwili huo ulipatikana katika mto karibu na daraja moja lilioko katika eneo la 300 block huko Kaskazini magharibi 2nd Street.
Kanda ya video iliyochukuliwa kutoka katika helikopta aina ya Chopper 6 ilionyesha boti ya uokoaji ya Kikosi cha Zimamoto cha Miami kikishughulikia kuuopoa mwili huo kutoka majini.
Maafisa wa Polisi wa Miami wamethibitisha mwili huo kuwa wa Abraham Mgowano, aliyetoweka tangu Jumamosi mchana.
Mgowano mwenye umri wa miaka 35, alikuwa mfanyakazi wa Google, katika nafasi ya uhandisi ambaye Gazeti la The Citizen la Tanzania limeripoti kuwa marehemu ni mwenye asili ya Tanzania.
Kulingana na Kamisheni ya Florida Fish and Wildlife Conservation FWC, Mgowano kutoka Berkley, California, alikuwa ni moja wa abiria 12 katika boti iliyo na urefu wa futi 44, kabla ya kuanguka majini kiasi cha saa nane na nusu mchana.
Waokoaji kutoka Zimamoto ya Miami waliutafuta mwili wa mtu huyo aliyekuwa na umri wa miaka 35 aliyeanguka majini.
Kikosi cha Ulinzi wa Majini cha Marekani kilijiunga na zoezi hilo la kumtafuta mtu huyo lakini walisitisha utafutaji wao Jumamosi usiku.
Maafisa wa Kamisheni (FWC) walisema Jumatatu kuwa walikuwa wanaendelea kushirikiana na Polisi wa Miami-Dade na Waokoaji wa Kikosi cha Zimamoto cha Miami kutafuta mwili katika eneo hilo.
Maafisa wa FWC pia wamethibitisha kuwa mwili huo ni wa Mgowano na walisema uchunguzi bado unaendelea.
“Mioyo yetu iko na marafiki na familia ya Bw Mgowano wakati huu mgumu unaowakabili,” FWC ilisema katika taarifa yao.
#mwili #marehemu #abrahammgowano #miami #florida #marekani #voa #voaswahili #fwc
12 Aug 2025
- Govt has announced privatisation plans for some of the biggest State companies.
12 Aug 2025
- Kenyans to expect temperatures as low as 8°C in some regions.
12 Aug 2025
- The former DP has been making controversial remarks.
12 Aug 2025
- Douglas Kamau says he narrowly escaped death when a bullet struck his arm and ribs, allegedly fired by a police officer from Makutano Police Station.
12 Aug 2025
- Naivasha Senior Resident Magistrate Wilson Rading on Monday recused himself from hearing the case against 73-year-old farmer Francis Muya, who is accused of plotting to kill five members of his family.
12 Aug 2025
- While Chirchir is of the opinion that road crashes are “preventable if all road users play their part” the Motorists Association of Kenya (MAK) has placed blame on government agencies.
12 Aug 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has 9 governors on its radar over corruption cases as it intensifies its crackdown on nationwide graft.
12 Aug 2025
- Prosecutors in the Ivory Coast said Monday they have charged 11 people, including members of the opposition party of ex-president Laurent Gbagbo, with alleged "terrorist" offences linked to unrest earlier this month.
12 Aug 2025
- Authorities in Taiwan were scrambling on Tuesday to evacuate hundreds ahead of a possible landfall by Typhoon Podul on the island's southeastern coast, while nearby areas battle to recover from floods and record winds brought by previous storms.
12 Aug 2025
- Hundreds of cabin crew members took their fight to major Canadian airports on Monday, picketing against unpaid labor, as talks on wages intensify between Air Canada AC.TO and its flight attendants this week ahead of a possible strike.
12 Aug 2025
- Condemnations poured in from the United Nations, the EU and media rights groups Monday after an Israeli strike killed an Al Jazeera news team in Gaza, as Palestinians mourned the journalists and Israel accused one of them of being a Hamas militant.
12 Aug 2025
- Scientists have discovered the fossil of a tiny mouse-sized mammal that lived in the time of the dinosaurs in Chilean Patagonia.
12 Aug 2025
- Govt has announced privatisation plans for some of the biggest State companies.