- 1,323 views
Hali ya huzuni imetanda katika kijiji cha shikhambi kaunti ya kakamega baada ya mwili wa mtoto mwenye umri wa miaka minne kupatikana ndani ya kisima.
Inasemekana kwamba kijana huyo alikuwa amekwenda kucheza na kisha baadaye mwili wake kupatikana katika kisima cha jirani. Wakaazi wa eneo hilo wamekitaja kisima hicho kuwa hatari huku wakitaka kizibwe ili kuzuia jambo kama hilo kutendeka tena. Mwili huo umepelekwa kwenye hifadhi ya maiti ya hospitali ya rufaa ya kakamega huku uchunguzi ukiendelea.
Mwili wa mtoto wa miaka minne wapatikana kisimani katika kijiji cha Shikhambi kaunti ya Kakamega
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script