- 11,302 viewsDuration: 1:16Mwimbaji wa Iran Parastoo Ahmadi amehukumiwa viboko 74 kwa kutumbuiza bila kuvaa hijabu katika tamasha mwaka 2024. Nchini Iran, wanawake wanakabiliwa na vikwazo vikali linapokuja suala la kuimba na kutumbuiza hadharani. Parastoo aliandaa tamasha la “kufikirika” (imaginary concert) kama njia ya kupinga vikwazo hivyo, kisha akashiriki video ya onyesho lake mtandaoni. Watu wengine wanane, wakiwemo wanamuziki, pia wamepewa adhabu hiyo ya viboko 74. Mwandishi wa BBC @frankmavura na taarifa zaidi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw