Skip to main content
Skip to main content

Mwogeleaji Andy Kodonde analenga kufanya vyema kwenye mashindano ya kitaifa Mei

  • | Citizen TV
    184 views
    Duration: 1:30
    Baada ya kuvunja rekodi tatu katika mashindano ya kuogelea ya Mombasa Junior Championship yaliyofanyika ukumbi wa Aga Khan, mpiga mbizi chipukizi mwenye miaka 11, Andy Kodonde, sasa analenga kufanya vyema kitaifa mwezi Mei hapa Nairobi.