Mzee wa miaka 103 mwenye medali 59 katika michezo

  • | BBC Swahili
    347 views
    Sawang Chanpram ana umri wa miaka 103. Alianza kujishughulisha na michezo alipokuwa na umri wa miaka 97 baada ya rafiki yake wa karibu kuugua na kulazwa kitandani. Sasa Sawang Chanpram ni bingwa na hushinda medali mara kwa mara kwenye hafla za kimataifa. Hivi karibuni alishinda medali za dhahabu 4 kwenye Mashindano ya Riadha ya Asia Masters. #bbcswahili #thailand #michezo #riadha #wazee Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw