Skip to main content
Skip to main content

Mzozo wa ardhi Katani wagharimu maisha ya mtu mmoja, wawili wajeruhiwa

  • | Citizen TV
    5,403 views
    Duration: 2:38
    Mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa eneo la Katani kaunti ya Machakos kwenye mzozo wa ardhi ambao pia umesababisha kujeruhiwa kwa watu wengine wawili. Samuel Muiruri Maina alipigwa risasi kufuatia tofauti kati ya mtu anayedai umiliki wa ardhi na kundi la vijana eneo hilo