Kufuatiwa kusimamishwa kwa Kocha mkuu wa Tanzania Adel Amrouche hapo jana kutokana na maamuzi ya shirikisho la mpira barani CAF, Msemaji wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, Cliford Ndimbo amesema kuwa bado Tanzania ina nafasi ya kufanya vizuri kuelekea katika mchezo wao dhidi ya Zambia.
Tanzania imecheza mechi moja dhidi ya Morocco na kucharazwa kwa goli tatu.
Adhabu ya kocha wa Tanzania ilitolewa baada ya maafisa kutoka Shirikisho la Soka la Kifalme la Morocco (RMFF) kuwasiliana na Caf kulalamikia matamshi yaliyotolewa na Amrouche.
#bbcswashili #morocco #tanzania #ivorycoast #afcon #tff #caf #soka
#kandanda
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has announced plans to set up a joint committee with the CEOs of insurance companies across the country to tackle fraudulent activities that have been plaguing the Social Health Authority (SHA).
18 Aug 2025
- President William Ruto has vowed to ensure that Members of Parliament and Senators behind an extortion scheme called soko huru are apprehended.
18 Aug 2025
- The death toll from a blast at a gunpowder plant near Moscow rose to 20, with more than 100 wounded, the authorities said on Monday, as a probe began into possible industrial safety violations.