- 13,611 viewsDuration: 1:38Kifaa cha kuchezea kinachodaiwa kupunguza msongo wa mawazo kimezua mjadala mkali kuhusu masuala ya ubaguzi wa rangi nchini China. Video zinazosambazwa mitandaoni zinaonyesha mwanasesere mweusi anayejulikana kama "Natasha doll" akipigwa ngumi, makofi na hata kukanyagwa na magari, jambo lililochochea ukosoaji na mjadala mkubwa mtandaoni. Mwandishi wa BBC @mariammjahid na taarifa hii - - #bbcswahili #China #ubaguzi #waafrika Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw