“Nimeishi hapa kwa miaka zaidi ya arobaini sijawahi kuona kitu kama hiki”

  • | BBC Swahili
    572 views
    Hali ya maisha mjini Katesh wilayani Hanang inaendelea kurejea kawaida huku baadhi ya kaya zikiwa zinaendelea na usafi wakati maeneo mengine shughuli zikiwa tayari zimerejea kama vile shughuli za ibada, shule, na huduma nyingine muhimu za kijamii ikiwemo maji na hata umeme na barabara. Mvua kubwa zinaendelea kunyesha nchini Tanzania na kwingineko Afrika Mashariki zimeacha uharibifu mkubwa pamoja vifo. 🎥: @eagansalla_gifted_sounds #bbcswahili #tanzania #katesh Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw