- 213 viewsDuration: 1:42“Nimepigiwa simu pale Nakuru Kasongo ameanza ukora na ubaguzi. Vitambulisho vya watu Wamlima,vya wakamba,vya Wabagusii ukiuliza inakaa miezi tatu. Zile za wakalenji watu wake wakiuliza wiki mbili chief anachukua anawapelekea...”-Rigathi Gachagua.