- 2,655 viewsMwandishi wa Habari wa VOA Misha Komadovsky alirekodi malumbano makali kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy wakiwa Ofisi ya Oval, White House Februari 28, 2025. Mkutano wa White House kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ulikuwa na lengo la kufikia makubaliano ya kuiruhusu Marekani fursa ya kupata madini adimu na uligeuka malumbano makali kati ya viongozi hao na Trump alimueleza Zelenskyy, “ Ama utafikia makubaliano au sisi tunajitoa.” Katika taarifa kwenye mitandao ya kijamii baada ya mkutano huo, Trump aliashiria kuwa pendekezo la makubaliano limevunjika. “Nimegundua kuwa Rais Zelenskyy hayuko tayari kwa amani iwapo Marekani itahusishwa kwa sababu anahisi ushiriki wetu unampa fursa kubwa katika mashauriano,” Trump aliandika. Kufuatia ziara hiyo, Zelenskyy alibandika katika mtandao wa X: “Ahsante Marekani, nashukuru kwa msaada wenu, ahsante kwa ziara hii. Ahsante @POTUS. Bunge la Marekani, na watu wa Marekani. Ukraine inahitaji amani ya kudumu, na sisi tunalihangaikia hilo.” #trump #zelenskyy #ukraine #russia #voa
Nini kilitokea katika mkutano wa Rais Trump na Zelenskyy?
- 30 Apr 2025 - High Court Judge Bahati Mwamuye has declared a protest ban issued by former Nairobi Police Commander Adamson Bungei during the 2024 anti-tax demonstrations illegal and unconstitutional.
- 30 Apr 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the order in a case filed by the Law Society of Kenya (LSK), which had petitioned the court following the killing of Rex Masai during a protest.
- 30 Apr 2025 - The explosion in generative AI since the advent of ChatGPT has seen several startups launch apps focused on exchange and contact, sometimes described as virtual friends or therapists that communicate according to one's tastes and needs.
- 30 Apr 2025 - Retired Commissioner of Police Michael Mbugua and two co-accused persons have been granted cash bail of Ksh.100,000 each in a case where they are charged with the murder of a farmhand.
- 30 Apr 2025 - Since he was first thrust into the limelight, to be publicly prosecuted over his role in the 1990s Goldenberg scandal, the Kamlesh Pattni saga has continued to unload radioactively, mesmerising the masses and painting him into the ultimate villain in a…
- 30 Apr 2025 - The developers' consortium that developed and maintains eCitizen, the government’s online portal for all State services, has defended its accountability amid repeated concerns about the accuracy of records of revenue collected through its platform.
- 30 Apr 2025 - The teachers are seeking payment of arrears for house allowances they claim were underpaid between July and October 2019.
- 30 Apr 2025 - The Cabinet approved the establishment of a consulate in Port-au-Prince, Haiti, to support its peacekeeping and diplomatic missions in the Caribbean.
- 30 Apr 2025 - Nominated Senator Karen Nyamu led the house committee on a fact-finding mission on land issues to Kisii County. The committee also visited Homa Bay County to assess the situation following complaints of waste disposal practices by a sugar industry in…
- 30 Apr 2025 - This is in line with the government's plan to reduce the cost of living in the Finance Bill 2025.